Mgomo wa madereva wa malori ya kubeba madini kutoka kwenye migodi ya DRC waanza - Novemba 02, 2023

Published: Nov. 2, 2023, 4:30 p.m.

b'Mgomo wa madereva wa malori ya kubeba madini kutoka kwenye migodi ya Kusini Mashariki mwa DRC kwenda nchi mbalimbaliu umeanza, wakilalamikia malipo duni.'