Kundi la kwanza la raia wa kigeni waliokwama Gaza kufuatia vita kati ya Israel na wapiganaji wa Hamas wameanza kuondoka leo kuelekea Misri - Novemba 01, 2023

Published: Nov. 1, 2023, 4:30 p.m.

b'Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.'