WENYE AKILI PUNGUANI WAPONA MOMBASA | PART 1

Published: Aug. 17, 2021, 11:43 a.m.

Nchini Kenya inakadiriwa kuwa mtu mmoja kati ya watu 10 anaugua shida ya akili, Huku mtu mmoja kati ya watu wanne wenye ugonjwa wa akili anahudhuria vituo vya afya.

\n

Wagonjwa wengi wa akili ujipata wametengwa katika jamii na wanaonekana kama waliolaniwa. 

\n

Jijini Mombasa kumefunguliwa makao na kituo maalumu ya kuwahudumia wagonjwa wa akili cha Women Empowerment for Mental illiness Treatment and Rehabilitation Centre kufunguliwa eneo la Miritini.

\n

Kituo hicho kwa sasa kina hifadhi zaidi ya wagonjwa akili 65, huku zaidi ya 50 wakiwa wamepona.

\n

BY: Athuman Luchi.