WANAWAKE WATUMIA TEKNOLOGIA KUJIIMARISHA KIUCHUMI

Published: Aug. 7, 2023, 7:33 a.m.

Licha ya idadi ya wanawake katika taalum ya teknologia kuwa ndogo ikilinganishwa na idadi ya wanaume, wanawake wameonekana kupambana ili kukabiliana na tofauti hiyo.

\n

Ripoti kutoka benki kuu ya dunia inaonyesha kuwa wanawake wako chini ya thuluthi moja ya wafanyikazi ulimwenguni katika nyanja zinazohusiana na teknolojia.

\n

Ambapo wanashikilia asilimia 28 ya kazi zote za kompyuta na hisabati, na asilimia15.9 ya kazi za uhandisi na usanifu

\n

Mwandishi:Nuru Mwalimu