Wanawake wafaidika na ufugaji wa Samaki vidimbwini Kibokoni Kilifi - Part One

Published: Oct. 21, 2022, 8:52 a.m.

Makala haya yanazungumzia kuhusu wanawake katika Kijiji cha Kibokoni kinachopatikana na bahari kaunti ya Kilifi waliokuwa wakikata miti na kuuza kuni. 

\n

Wanawake hao sasa wamebadilika, kwa sasa wanajishughulisha na ufugaji wa samaki vidimbwini na kuuza ili kujikimu kimaisha.

\n

Makala haya yametayarishwa na kusimuliwa na Ruth Keah.