Ujio wa virusi vya Corona humu nchini ulivuruga shughuli nyingi ikiwemo za kiuchumi.Kina mama wengi wamelazimika kujiunga na vyama vya mashinani ambapo wanapata mikopo bila riba na kujiendeleza na bisahara zao ndogo ndogo. Ruth Keah amezungumza na baadhi ya wanawake waliojiunga na vikundi hivyo na kutuandalia makala haya.
\nBy:Ruth Keah