Tangu serikali ya kaunti ya Kwale kuongeza idadi ya vituo vya afya nyanjani, Idadi ya wanawake wanaoaga dunia kutokana na changamoto za kujifungua kaunti ya kwale imepungua kutoka wanawake 560 Kila mwaka Hadi wanawake 35 Kati wanawake laki 1 wanaojifungua kote nchini.
\nBy:Mwanaharusi Rashid