UZAZI NA CHANJO YA CORONA

Published: Aug. 16, 2021, 8 p.m.

Ujio wa chanjo ya kudhibithi virusi vya corona nchini imepokelewa kwa mtazamo tofauti , huku baadhi wakisema kuwa chanjo hiyo inazuwia wanawake kupata uja uzito sambamba  na wanaume kutokuwa na uwezo wa kuzalisha.

\n


\n

By: Nuru Mwalimu