Uvuvi wa kamba mwani wapigwa jeki Lamu

Published: Dec. 31, 2021, 12:20 p.m.

Uvuvi wa Kamba mwani kwa kimombo Lobsters ni maarufu katika kaunti ya Lamu haswa katika eneo la Kizingitini kisiwa cha Pate.

\n

Wavuvi wa Kamba mwani katika kaunti ya Lamu kwa ushirikiano na washikadau mbalimbli wanaendeleza mikakati ya kupata kibali cha kimataifa ili kulifikia soko kubwa, mikakati hii iliyoanza mwaka wa 2011 ni kutokana na uhutaji wa lobsters ulioyopo katika soko.

\n

Kibali hiki kikitarajiwa kutolewa na Marine stewardship council MSC

\n

By:Mwanaharusi Rashid