UVUMI KUWA CHANJO ZA CORONA INAATHIRI NGUVU ZA KIUME

Published: Aug. 4, 2021, 8:01 a.m.

Kulingana na wizara ya afya nchini Kenya, takribani 2% ya Wakenya wamedungwa chanjo hio, huku kati ya 2% ya watu waliodungwa chanjo ya corona zaidi ni wanaume.

\n

Pamoja na hayo, kuna uvumi  unaoendelea kuwa chanjo hiyo husababisha utasa na kupoteza nguvu za kiume.

\n

 Licha ya kuweko na uvumi huo, idadi kubwa ya wanaume wanaendelea kudungwa chanjo hio.

\n

By Athman Luchi