Umuhimu Wakunyonyesha Watoto

Published: Sept. 15, 2022, 12:46 p.m.

Licha ya wanawake waliojifungua kusisitizwa kunyonyesha watoto wao,bado kunao ambao hawanyonyeshi watoto.

\n

Kulingana na shirika la afya duniani WHO, karibu watoto 2 kati ya 3 hawanyonyeshwi maziwa ya mama pekee kwa miezi 6 iliyopendekezwa\u2014kiwango ambacho hakijaimarika katika miongo 2.

\n

Mwandishi:Zahra Nakaya Akosa.