Ukakamavu Wangu

Published: Aug. 25, 2022, 9:13 a.m.

Licha ya jamii na baadhi ya familia kuonekana kuwakejeli watu wenye ulemavu,hali ilikuwa tofauti kwa familia ya Lucy Chesi na dadazake wawili ambao wote walizaliwa na ulemavu wa viungo.Wazazi wake walijizatiti na kuwalea vyama na kuwapa elimu ya kutosha.Katika msururu huo wa maisha,Lucy na wenzake walipitia unyanyasaji lakini,waliupuzilia mbali na kusonga mbele kimaisha na kutibithishia umma kuwa ulemavu sio ugonjwa na haustahili kukejeliwa na unyanyasaji.

\n

Mwandishi:Athuman Luchi