Uhifadhi wa Mikoko kupitia ufugaji wa Nyuki

Published: Oct. 21, 2022, 8:41 a.m.

Makala haya yanazungumzia kuhusu juhudi ambazo wakazi wa Kijiji cha Ganahola, eneo bunge la Jomvu kaunti ya Mombasa wanafanya kulinda mikoko baharini.

\n

Wakazi hao wanafanya ufugaji wa nyuki ambao hutoa ulinzi kwa mikoko eneo la Tudor Creek hiyo saa 24/7 hivyo hakuna watu wanaweza kuiharibu.

\n

Imatayarishwa na kusimuliwa na Ruth Keah.