Uhifadhi Wa Mazingira Umesababisha Kujengwa Kwa Mkahawa Unaovutia Watalii Dabaso.

Published: March 2, 2023, 9:55 a.m.

Makala haya yanazungumzia kuhusu jamii ilivyoungana kulinda mazingira hasa mikoko katika eneo la Mida Creek Dabaso. Hatua iliyowafanya kujenga mkahawa juu juu ya mikoko na kwasasa mkahawa huo umekuwa kivutio kikubwa cha watalii kutoka humu nchini na hata nje ya nchi. Mtayarishi ni Ruth Keah.