Licha ya shirika la afya duniani WHO,kuidhinisha matumizi ya vyandarua vya mbu vilivyotibiwa,hapa nchini Kenya mkakati huu unakabiliwa na changamoto nyingi kwa sababu kuna taarifa za uongo zinazosambaa kwamba vyandarua hivyo husababisha uvamizi wa kunguni majumbani pindi tu vinapotumika.
\nBy:Mwanaharusi Rashid.