Teknolojia ya Rangi Katika Kukabiliana na Uhalifu Mombasa

Published: March 7, 2023, 10:47 a.m.

Makala haya yanazungumzia kuhusu mbinu ya Rangi ambayo wanabodaboda kaunti ya Mombasa wanatumia kutofautisha sehemu wanazohudumu kama njia moja ya kukabiliana na visa vya uhalifu. Makala yametayarishwa na Ruth Keah.