Programu ya rununu inavyosaidia watu wenye ulemavu kupata ajira.

Published: Jan. 31, 2022, 8:54 a.m.

Watu wenye ulemavu wamekuwa wakikabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo kukutana na miundo msingi isiyo rafiki na kunyimwa ajira.

\n

Hatua, iliyosababisha shirika moja la kibinafsi kuzindua programu ya simu ya rununu inayowawezesha watu wenye ulemavu kupata kazi bila kubaguliwa.

\n

Kama anavyosimulia Mhariri wetu Ruth Keah kwenye Makala- programu ya rununu inavyosaidia watu wenye ulemavu kupata ajira.