Watu wenye ulemavu ni miongoni mwa makundi ya jamii zilizotengwa.
\nNa ili kuimarisha uwakilishi wao katika ulingo wa siasa,Kumekuwa na kila juhudi kuhakikisha kuwa makundi yaliyotengwa yamepata nafasi sawa za uwakilishi.
\nHata hivyo kulingana na matokeo yaliyoshuhudiwa baada ya uchaguzi mkuu wa Agosti 9 humu nchini Kenya, hayakuwapendeza watu wenye ulemavu.
\nKama anavyoarifu mhariri wetu Ruth Keah kwenye Makala haya.