Nafasi za kisiasa kwa watu wenye ulemavu zayumbayumba.

Published: Sept. 25, 2022, 11:45 a.m.

Watu wenye ulemavu ni miongoni mwa makundi ya jamii zilizotengwa.

\n

Na ili kuimarisha uwakilishi wao katika ulingo wa siasa,Kumekuwa na kila juhudi kuhakikisha kuwa makundi yaliyotengwa yamepata nafasi sawa za uwakilishi.

\n

Hata hivyo kulingana na matokeo yaliyoshuhudiwa baada ya uchaguzi mkuu wa Agosti 9 humu nchini Kenya, hayakuwapendeza watu wenye ulemavu.

\n

Kama anavyoarifu mhariri wetu Ruth Keah kwenye Makala haya.