Mtiririko wa taka baharini, tishio la kuangamia kwa viumbe vya bahari

Published: May 15, 2023, 11:38 a.m.

Makala haya yanazungumzia kuhusu uchafuzi wa bahari hasa katika eneo la Mbuyuni-Mji wa Kale kaunti ya Mombasa.

\n

Eneo hilo limeathirika na maji taka yanayotoka katika nyumba zinazopakana na ufuo wa bahari.Makala haya yametayarishwa na Ruth Keah.