Tangu ya kuanzishwa kwa Mradi wa Skills Mtaani eneo bunge la Mvita zaidi ya Vijana 11,000 wamenufaika na mradi huo na sasa wengine wameajiriwa na wengine wamefungua biashra zao.
Mwanahabari wetu Athuman Luchi ametuandalia makala,kuhusu mradi huo.