Kwa mara nyingi sekta ya usambazaji wa gasi safi imechukuliwa kama kazi inayofanywa na wanaume. Makala haya yanazungumzia kuhusu wanawake kutoka kaunti ya Mombasa waliojiingiza katika sekta hiyo na kujipatia kipato na kuimarisha maisha yao. Mtayarishi wa makala haya ni Ruth Keah.