Raisi Uhuru Kenyatta alizindua rasmi zoezi la wasichana walio na umri wa miaka 10 kupewa chanjo dhidi ya ugonjwa wa saratani ya shingo ya uzazi ya Human Papilloma Virus yaani HPV.
\nLakini zoezi hilo limekumbwa na pingamizi kutoka kwa wadau mbalimbali.
\nMhariri wetu Ruth Keah ameandaa Makala maalum ya jinsi habari za urongo mitandaoni pia zimechangia jamii kutokumbatia utoaji huo wa chanjo.
\nBy:Ruth Keah