Makala Habari Za Urongo Zaathiri Utoaji wa HPV

Published: Jan. 24, 2022, 11:50 a.m.

Raisi Uhuru Kenyatta alizindua rasmi zoezi la wasichana walio na umri wa miaka 10 kupewa chanjo dhidi ya ugonjwa wa saratani ya shingo ya uzazi ya Human Papilloma Virus yaani HPV.

\n

Lakini zoezi hilo limekumbwa na pingamizi kutoka kwa wadau mbalimbali.

\n

Mhariri wetu Ruth Keah ameandaa Makala maalum ya jinsi habari za urongo mitandaoni pia zimechangia jamii kutokumbatia utoaji huo wa chanjo.

\n

By:Ruth Keah