Wakazi wengi ukanda wa pwani wamekuwa wakitegemea kilimo cha nchi kavu.
\nLakini kutokana na mabadiliko ya tabia nchi yanayosababisha hali ya ukame kukithiri, Sasa baadhi yao hasa wanawake wamegeukia kilimo mbadala cha baharini kama anavyoeleza Ruth Keah kwenye makala ifuatayo.