Makala haya yanaangazia juhudi za kijana kutoka kaunti ya Kilifi-Kenya anayeng'aa katika soka ya kimataifa licha ya kuwa mlemavu. Licha ya kukatazwa kucheza na wazazi wake, hakufa moyo na kuendeleza kipaji chake na kwasasa anategemewa na familia yake kutokana na kipato anachopata kutokana na kucheza soka.