Juhudi za kupungunza mkurupuko wa homa ya Dengue Mombasa/ Part 1

Published: Sept. 5, 2022, 7:33 a.m.

Kaunti ya Mombasa imekuwa ikishuhudia mkurupuko wa homa zinazosababishwa na mbu ikiwemo homa ya Dengue, Chikungunya na Malaria.

\n

Magonjwa ambayo yanasababishwa na aina Fulani ya mbu.

\n

Mhariri wetu Ruth Keah katika Makala yafuatayo,ameeleza juhudi mbalimbali zilizochukuliwa na wadau wa afya kuhakikisha kuwa inatokomeza magonjwa hayo.