Jinsi Homa ya Chikungunya Ilivyokabiliwa Mombasa/Part 1

Published: Sept. 25, 2022, 11:51 a.m.

Mwaka wa 2017 hadi mwaka 2018, kaunti ya Mombasa ilishambuliwa na mkurupuko wa homa ya Chikungunya.

\n

Homa ambayo ilikua mara ya kwanza kushuhudiwa.

\n

Ili kukabili mkurupuko huo,kaunti ya Mombasa iliweka mikakati mbalimbali ikiwemo kuhusisha wahudumu wa afya wa kujitolea.

\n

Hatua ambazo zilizaa matunda kama anavyoeleza mhariri wetu Ruth Keah kwenye Makala haya.