Hamasa zilivyosaidia wakazi wa Rabai-Kilifi kuepuka homa ya Chikungunya - Part One

Published: Oct. 21, 2022, 1:47 p.m.

Makala haya yanazungumzia kuhusu jinsi idara ya afya gatuzi dogo la Rabai kaunti ya Kilifi ilivyoweka mikakati ya kuzuia kusambaa kwa homa ya Chikungunya.

\n

Hii ni baada ya homa hiyo kuripotiwa kaunti jirani ya Mombasa.

\n

Imetayarishwa na kusimuliwa na Ruth Keah.