Changamoto za mimba za utotoni kwa wasichana wenye matatizo ya akili

Published: Dec. 5, 2022, 12:59 p.m.

Wizara ya afya nchini Kenya ilirekodi visa 45,724 vya mimba za utotoni mnamo Januari na Februari mwaka 2022.Visa hivyo ni vya wasichana wenye umri wa kati ya miaka 10 na 19 wakiwemo watoto wenye ulemavu wa akili.Watoto hao wenye ulemavu wengi ubakwa na kupachikwa mimba na kuachwa wakiangaika pasi usaidizi.

\n

Mwandishil:Rose Tawa

\n