Idadi kubwa ya wanawake wanaojiufungua watoto wenye ulemavuhujikuta wamepewa talaka au kutengwa na waume zao hatua inayowafanya kuishi maisha magumu.Hata hivyo yapo mashirika yaliyojizatiti katika masuala ya kusaidia watoto walemavu ili kuyaboresha maisha yao ya baadae. Mashirika haya yamewapa wanawake hawa matumaini katika maisha.
\nMwandishi: Mwanaharusi Rashid