Katika miji mingi kumeshuhudiwa ombaomba wa aina tofauti tofauti.
\nKatika kundi la ombaomba kuna makundi makuu matatu ambao ni watoto, walemavu na wazee.
\nKundi kumbwa ambalo lina wahusika wengi katika kuomba ni kundi la watu wenye ulemavu.
\nLakini kwa Naima Omar Ali, amekataa kuwa katika kundi hilo la kuomba na badala yake kujitolea kufanya kazi za kusaidia jamii bila malipo.
\nNaima alifanya mahojiano na muhariri wetu Ruth Keah kwenye makala ifuatayo.