Ahudumia jamii kwa kujitolea licha ya kuwa Mlemavu.

Published: Aug. 26, 2022, 1:46 p.m.

Katika miji mingi kumeshuhudiwa ombaomba wa aina tofauti tofauti.

\n

Katika kundi la ombaomba kuna makundi makuu matatu ambao ni watoto, walemavu na wazee.

\n

Kundi kumbwa ambalo lina wahusika wengi katika kuomba ni kundi la watu wenye ulemavu.

\n

Lakini kwa Naima Omar Ali, amekataa kuwa katika kundi hilo la kuomba na badala yake kujitolea kufanya kazi za kusaidia jamii bila malipo.

\n

Naima alifanya mahojiano na muhariri wetu Ruth Keah kwenye makala ifuatayo.