Nyumba ya Sanaa - 'Waimbaji wa Muziki wa Injili Wabadilike'

Published: April 29, 2019, 9:27 a.m.

Allain Nyangasa awataka Waimbaji wa Muziki wa Injili kubadilika kufanya Muziki wa Injili kwa ajili ya kumtumikia Mungu na si Biashara Ungana na Steven Mumbi katika Makala haya akizungumza na Msanii huyo.