Nyumba ya Sanaa - Cocodo; Vijana tujitume zaidi kwenye Muziki

Published: March 11, 2019, 10:30 a.m.

Hii ni Sehemu ya Pili ya Makala haya tukiangazia Muziki na Cocodo African Music Band wakifanya sanaa ya Muziki kutoka nchini Tanzania Ungana na Steven Mumbi akizungumza na wasanii Remi na Nelius wakizungumzia safari yao ya kimuziki kwa zaidi ya miaka nane sasa