Serikali ya Kenya ililazimika kupunguza matumizi yake yote kwenye ruzuku katika robo ya kwanza ya mwaka wa kifedha wa 2023/24 - Novemba 20, 2023

Published: Nov. 20, 2023, 4:30 p.m.

Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.